Suluhisho Asili la Harufu Mbaya

Mdomoni na Maumivu ya Meno – Dawa

ya Meno yenye Aloe Vera & Propolis”

Je, unateseka na harufu mbaya mdomoni au maumivu ya meno yanayokukosesha

raha kila siku? Sasa kuna suluhisho la kiasili linalokuletea pumzi safi, meno imara na

tabasamu la kujiamini

Kama

● unatamani kuwa na ujasiri anapoongea na watu (kazi, mikutano, au uhusiano wa

kimapenzi).

kutoogopa kukaribia watu, kubadilishana mawazo au kupiga busu bila

wasiwasi.

kuonekana msafi na mwenye mvuto mbele ya marafiki, familia na

jamii. kupumua kwa urahisi bila hisia za aibu.

kuishi bila maumivu kila siku.

kula chakula chochote bila hofu ya kuumizwa na jino.

kuepuka gharama kubwa za kutibiwa meno hospitalini.

kuondokana na hofu ya kupoteza meno mapema.

kufurahia mswaki safi bila kuona damu kila mara na kuhisi afya bora ya kinywa na pumzi safi

Basi unahitaji kusoma ujumbe huu mwazo mwisho kwasababu….

unakaribia kujua njia mpya salama na yakipekee ambayo itakufanya kutoogopa

kukaribiana na watu, kubadilishana mawazo au kupiga mpenzi/ mke wako busu

bila wasiwasi ndani ya mda mfupi (dakika 3) hatakama unamatatizo mengine ya

meno. Njia hii ni salama na haina madhara yoyote mwilini kwani Imethibitishwa

na mamlaka za afya kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kuondoa harufu mbaya

na kufanya mtu aonekane msafi na mwenye mvuto mbele ya mpenzi/mke au

marafiki zako.

Naitwa mr Hamis.

Ni ukweli uliowazi kwamba kila mtu( mwanamke au

mwanaume) anajivunia kuongea na kunong'ona na mpenzi/mke au hatarafiki

zake bila kuhisu aibu ya kutoa harufu mbaya mdomoni

Nikiwa kama mhanga wa tatizo hili lilinitesa sana natambua hata wewe

linavyokutesa na hali unayopitia ukiwa unaongea na watu karibu nakuona mtu

akikatiza maongezi na kusogea pembeni na mda mwingine kusingizia kitu flani

ilimradi aondoke karibu na wewe kwani kinywa chako kinatoa harufu mbaya japo

mwingine hawezi kukwambia

Lakini Lakini mwisho wa changamoto yako umefika na ndani ya dakika 3

zijazo utaona ni kwa jinsi gani changamoto yako inaenda kutatuliwa.

Kwa sasa ngoja nikwambie stori moja ambayo ni muhimu uijue. Stori yenyewe

ni hii hapa:

Mwaka 1945 huko marekan kulikuwa na mwaume mmoja imeandikwa kuwa

mwanaume huyo aliishi kwa mda mrefu sana alipofika miaka 75 alikuwa....

amezeeka kidogo lakini cha kushagaza hakuwahi kung'oa jino hata moja meno

yake yalikuwa vizuri kabisa mzee huyo alieishi miaka mingi nchini hapo...

alikuwa akisukutua meno kwa kutumia vipande vya mti na mmea wa alovera

(mshubili)akichanganya na propolis ya nyuki..

Siku moja alitembelewa na wanasayansi wa chuo cha afya kinywa na meno

wakitaka kujua niniilikuwa sili ya mzee huo kutunza kinywa chake kwa mda

mrefu

Baada ya utafiti wa mda mrefu madakitari waligundua siri moja kubwa sana

ambayo wengi hawakuwahi kujua kabla

Madakitari waligundua siri hii ya mzee alieishi miaka mingi bila tatizo la meno..

Tafiti zinaonyesha kwamba mchanganyiko huo wa mshubili [alovera] na

propolis ya nyuki inafaida kubwa katika kutibu changamoto ya harufu mbaya....

na meno kwa ujumla. Ndio maana mzee alikuwa akiutumia maisha yake yote

kutokana na maajabu ya mchanganyiko huo...

Kwahiyo mzee huyu aliweza kuwa na afya bora ya kinywa kwasababu propolis

ya nyuki [bee propolis] ilikuwa nauwezo wakulinda meno yake yasiweze..

kuharibiwa na kutoa harufu mbaya kwa kuua bacteria wabaya harmful bacteria...

na kuruhusu bacteria wazuri ambao hawa ndio wanalinda kinywa

Siyo hivyo tu

Watafiti walijiuliza nikwanini wengine wanatumia dawa za meno lakini

wengine wanatoa harufu mbaya na wengine meno yanaoza licha kupiga

mswaki kila siku

Ndipo wakaendelea kufanya utafiti wa mchanganyiko huo kwanini wengine wanapiga mswaki lakini bado wanapata shida ya meno na harufu mbaya nawalishangazwa na majibu hayo...

Majibu ya mchanganyiko huo yalikuwa haya hapa..

Ndipo wakafa upembuzi wa mchanganyiko huo na waliopita unakitu hivi

water,vitamini (A,C,E&B), madini 6 kama

kalisiamu,maginisiamu,manganese,zink,koppa,seleniamu kwa ajili ya kuimarisha

meno na kuwa magumu , enzyme kama amylase lipase anda bradykinase saponin

na vitu vingine vingi

Tafiti zinaonyesha ndani ya mchanganyiko huu kuna kitu kinaitwa enzymes...

Enzyme hizi unazijuwa na matumizi yake usijali utajuwa ila kwa sasa ngoja

nikwambie kitu kinachosababisha kutoa harufu mbaya kinywani meno kuharibika

mara kwa mara

Iko hivi kwa mtu ambaye hana changamoto ya kinywa anapokula chakula mabaki ya.....

chakula hubaki kinywani mtu huyu baada ya mabaki kubaki kinywani huvamiwa na......

bacteria na kuanza kuliwa kwa ajili ya kusasiteini maisha yao

Kwahiyo wanavyo Meng'enya mabaki hayo huzalisha chumvi chumvi za sulpha

,ambazo hutoa harufu mbaya.

kwa hiyo mtu huyu kama hanamajeraha au vidonda mdomoni akisafisha meno kwa

kutumia dawa ya meno huua vijidudu na kutoa uchafu kitu ambacho huwezi kusikia harufu mbaya

Kwahiyo nikwanini inakuwa ni rahisi wewe kupata harufu mbaya au maumivu

makali hizi hapa sababu

Hizi hapa ni sababu zinazopelekea update harufu mbaya mdomoni na maumivu ya meno

Sababu za Harufu Mbaya ya Mdomo

  • Mdomo kukauka – ukosefu wa mate hufanya bakteri kuzaliana haraka.

  • Uchafu wa kinywa – mswaki usio sahihi, kutoosha ulimi, mabaki ya chakula.

  • Fizi dhaifu au kuvimba – hutengeneza harufu mbaya kutokana na bakteria

  • Matumbo au tumbo lenye sumu – gesi na bakteria kutoka tumboni huchangia harufu.

  • Kula vyakula vyenye harufu kali (kitunguu, vitunguu saumu, pombe, sigara).

  • Matatizo ya kiafya – kama vile kisukari, tonsils au maambukizi ya koo.

  • Sababu za Maumivu ya Meno

  • 1. Meno kuoza kutokana na mabaki ya sukari na bakteria.

  • Fizi kutoa damu/kudhoofika – husababisha maumivu na jino kulegea.

  • Meno kuwa nyeti kwa sababu ya mifupa au tabaka la jino (enamel) kuchakaa.

  • Meno kutopangwa vizuri – chakula kukwama na kusababisha maumivu.

  • Kutokutunza meno – kutopiga mswaki mara mbili kwa siku au mswaki mbovu.

  • Kula vyakula vyenye sukari kupita kiasi – huchochea kuharibika kwa meno.

  • Maambukizi kwenye mzizi wa jino – husababisha maumivu makali usiku.

Najuwa unajiuliza mbona napiga mswaki kila siku tena mara mbili na dawa

ya mswaki za kampuni ninayoiamini sana lakini mbona harufu haishi au

mbona meno ya nauma hata kutoboka shida nini sasa?

Iko hivi kwenye kinywa chako kuna walizi wa mdomoni (bacteria wazuri) normal

frola

Narmal Flora wa kawaida wa kinywa ni viumbe wadogo wadogo wanaoishi mdomonikama bakteria na fangasi.

Wanaishi sehemu tofauti za mdomo kama kwenye meno,

ulimi na kwenye nyama laini za mdomo.

Viumbe hawa si wabaya, bali ni marafiki wa mwili Wanasaidia kulinda mdomo dhidi ya vijidudu vinavyosababisha magonjwa, kusaidia kazi za kawaida za mdomo, na kuweka afya ya mdomo iwe salama.

Mfano wa hawa viumbe ni Streptococcus, Lactobacillus, Actinomyces na fangasi

kama Candida.

Sasa hawa wanaishi katika mazingira ya ubesi yaani hawataki tindikali kali au

dawa kali

Kwakaida huwa wanazaliana nakukuwa katika mazingira rafiki

Kwa kawaida hakuna kipimo cha moja kwa moja cha kusema ni ngapi kwa ngapi kwa uwiano wa bakteria wazuri na wabaya mdomoni.

Lakini kisayansi inafahamika hivi:

Bakteria wazuri (commensal/beneficial bacteria) kwa mtu mwenye afya nzuri ya

kinywa, huchukua karibu asilimia 85–90 ya jamii ya viumbe mdomoni.

Bakteria wabaya (pathogenic bacteria) huwa wachache, karibu asilimia 10–15

pekee.

👉 Shida hutokea pale ambapo uwiano huu unabadilika (yaani bakteria wabaya

wanaongezeka na kuzidi 20% au zaidi). Hapo ndipo huanza matatizo kama harufu

mbaya ya mdomo, kuoza kwa meno, na magonjwa ya fizi.

Sababu kuu zinazoweza kupunguza idadi ya bakteria wazuri mdomoni ni:

1. Matumizi ya antibiotiki – dawa hizi hazizui tu bakteria wabaya bali pia huangamiza bakteria wazuri.

2 Lishe duni – vyakula vyenye sukari nyingi na vyenye mafuta huongeza ukuaji wa bakteria wabaya na kupunguza nafasi ya bakteria rafiki.

3. Kinywa kukauka (xerostomia) – ukosefu wa mate kutokana na upungufu wa maji mwilini,

4. matumizi ya dawa fulani, au magonjwa kama kisukari,

huzuia ukuaji wa bakteria wazuri.

5. Msongo wa mawazo (stress) – huathiri kinga ya mwili na kuruhusu uwiano wa bakteria kubadilika.

6. Uvutaji sigara na pombe – huua bakteria wazuri na kubadilisha mazingira ya.....

mdomo kuwa rafiki zaidi kwa bakteria wabaya.

7. Usafi hafifu wa mdomo – kutosafisha meno na ulimi vizuri huchochea kuongezeka kwa vijidudu wabaya.

Kwahiyo sasa hizo ndio sababu kwanini wewe mda wote mdomo unatoa harufumbaya na hauishi kumwa meno

Unatumia dawa kali za meno kwenye dawa za meno kuna strong atibaotiki

ambayo ni frolide kazi yake ni kuuwa bacteria wabaya lakini kulingana na ukali

wake huu wa hadi bacteria wazuri.

Hata hivyo dawa nyingi zenye frolide hazina uwezo wa kuondoa maumivu au

kuponya majeraha yanayo jitokeza mdomoni kitu ambacho husababisha vidonda

kuvamiwa na bacteria na kutoa harufu…

Kwa sasa watu wengi wanatumia antibiotiki kali mfano watu wenye changamoto

ya pressure na magonjwa mengine hivyo dawa hizo sambamba na kuuwa.....

bacteria wabaya huuwa wote kitu ambacho husababisha kuota kwa bacteria

wabaya na fungasi na kusababisha shida kama harufu mbaya,fizi kutoa damu,meno kuuma na kutoboka

Sasa turudi nyuma kidogo nilikwambia kuhusu mzee alieishi kwa miaka

mingi bila tatizo la meno alikuwa anatumia mchanganyiko wa alovera na

propolis ya nyuki……….

Sasa wanasayansi walipoenda kuchunguza maabara walikutana na vitu

vingi ambavyo nimekuelezea hapo juu miongoni mwake ni kemikali ya

enzyme ya brandynase husaidia kuweka mazingira rafiki kwa bacteria wazuri...

kukua na kuishi kitu ambacho dawa zingine hazina ndio maana unapiga

mswaki lakini harufu mbaya mdomoni haiishi na matatizo ya meno haishi

kila siku kung'oa mbona utakuwa kibogoyo..

Sasa tuangalie ni kwanamna gani huu mchanyiko unafanya kazi

Jinsi ambavyo mchanganyiko wa alovera na

propolis ya nyuki unavyofanya kazi

Sasa baada ya wanasayansi kuona alovera na propolis ya nyuki ina faida na

inaweza kusaidia sana watu katika afya meno na kinywa ndipo wakaamua

kutengeneza dawa ya meno ambayo inamchanganyiko wa asali na alovera…..

Sote tunajuwa maajabu ya mmea wa alovera na asali katika kutibu magonjwa

mbalimbali

Hivyo walitengeneza dawa hiyo ya meno ambayo ilitwa forever bright

toothgel….

Hii dawa ni ya kipekee sana kwanza imetengenezwa kwa kutumia mimea asilli

na imezibitishwa na mamlaka za afya nchi 160 na Tanzania

Kampuni hii iliotengeneza dawa hizi kutoka marekani inaitwa forever living

product na Tanzania ilifunguwa tawi lake hapa mwaka 2007 hadi sasa…

Kwa hiyo ukipata dawa hii umepata uponyaji na matatizo yote yakinywa yatakuwa

yameisha kwani..

Inaanza kuondoa shina la tatizo na kupona kabisa

Ukitumia dawa hii utapa faida hizi

Ina antibiotiki ya asili kutoka kwenye asali propolis ya nyuki hii ni product ambayo nyuki

huitumia kuzuia wadudu kuingia ndani ya mzinga ndio maana hata uache asali wazi

huwezi kukuta mdudu wala kuhalibika

kwahiyo itauwa bacteria wabaya na kubakiza bacteria wazuri ili kulinda kinywa pia Ina...........

1. punguza bakteria hatari – asali ina mali ya kuua bakteria (antibacterial) na

aloevera inauwezo wa kupunguza uvimbe, hivyo kupunguza ukuaji wa bakteria

wabaya mdomoni.

2. Kuhudumia fizi na gingiva – aloevera husaidia kupunguza uvimbe na kuponya

tishu zilizo na uchungu, hivyo kupunguza kuvimba kwa fizi.

3. Kuzuia kuoza kwa meno – mali ya antiseptiki ya asali husaidia kupunguza pluk na bakteria zinazosababisha kuoza.

4. Kuondoa harufu mbaya ya mdomo – kupunguza bakteria wabaya huimarisha harufu safi ya mdomo.

5. Asili na usalama – dawa hii ni rafiki wa mwili kwani haitumii kemikali nzito kama

dawa nyingine nyingi za meno.

Kwahiyo kwakutumia dawa hii nauhakika kuwa utapona meno ,fizi na hata tatizo la

kutoa harufu mbaya mdomoni na kuwa na furaha kurudisha hali ya kujiamini mbele za watu hata mbele za mpenzi wako au marafiki zako

Hii ndio dawa inayoitwa forever bright toothgele

forever bright toothgel ni dawa ya kipekee na tofauti na dawa za meno nyingine ambazo

umewahi kuzitumia kwasababu…..

Dawa hii kama nilivyo kwambia imethibitiswa na mamlaka za dawa na chakula dunianina TMDA hapa Tanzania…

Kwahiyo wasiwasi wako kuhusu kupata madhara yoyote baada ya kutumia dawa hii

tupilia mbali kabisa kwani dawa hii ni salama kwa afya ya mwili wako pia mtoto kuanziamiezi 6

anaweza kutumia na hata akimeza bahati mbaya inakuwa haina shida kwani

nisalama zaidi itaenda kutibu kama kuna shida tumboni…

Tofauti na dawa nyingine za meno ambazo zina frolide ambayo sio salama kwa afya

Fikilia hali kutoka kutoa harufu mbaya mdomoni. Maumivu ya meno na fizi kutoa

damu nikishindwa hata kucheka mbele ya mpenzi/mke wako ,marafiki zako hadi kujiami

kucheka bila kuona aibu kuwa pengine mdomo wako unatoa harufu au kushindwa

kulala usiku kisa maumivu ya jino hadi kulala bila wasiwasi na kuishi kwa furaha..

Sio hivyo tu fikilia kupiga mswaki bila kutokwa na damu kwenye fizi nakujikuta ukifurahia meno yako…

Fikilia utavyokuwa na meno meupe kama ya mtoto utavyoweza kufarahi na mpenzi

wako mkiwa chumbani bila kuwaza kama unamkela kwa harufu mbaya..

Hakika forever bright toothgel ni mkombozi uliekuwa ukumsubili siku zote ili kurudisha tabasamu lako…

Utakavyoanza kutumia dawa hii ya foreve bright toothgel siku hadi siku.... wiki hadi

wiki…

Utaanza kuona mabadiliko makubwa katika kinywa chako kama vile maumivu

kupungua siku hadi siku , harufu mbaya mdomoni kuisha, na hata fizi kutotoka damu pindi ukipiga mswaki…

Hali ya kutoa harufu mbaya mdomoni maumivu ya meno na fizi kutoa damu haitajitokeza tena

Kwa kuamini ninachokwambia..

Ngoja Nikupe story yangu kidogo…

Mimi mwaka 2010 nilikuwa na tatizo la nikipiga mswaki damu zilikuwa zinatoka

hata hivyo kutokana hali ya damu kutoka mdomo wangu ulikuwa unatoa harufu

mbaya sana sambamba na kupiga mswaki na dawa ya meno

Nilikuwa nahisi aibu kama wewe sikuwa na furaha hata kidogo kwani nilikuwa siwezi

kucheka karibu na watu kutokana na harufu mbaya mdomoni

Niliumia zaidi nilivyokuwa naambiwa kuwa mdomo wangu unatoa harufu mbaya

sana…

Ikafika hatua hata mpenzi wangu niliempenda sana alinikataa kwani tulivyokuwa

tukisogeleana nilikuwa natoa harufu mbaya sana…

Katika kutafuta suluhisho nilitumia dawa mbalimbali za asili kama chumvi lakini

harufu ilikuwa inatokea kwa mda na kurudi

Mwaka 2012 baada ya kuona mabadiliko hakuna ilibidi kwenda hospitali ili kupima

shida nini…

Niliambiwa ninashida ya kinywa nikapewa dawa nikaanza kuzitumia nilipata nafuu

lakini baada ya mda mambo yariludi vilevile nikachoka sana..

Baada ya kuona hali hiyo inazidi nilitembelea famasi kupata dawa mbalimbali ili

kunisaidia mfano mouth wash lakini nilikuwa napata afadhali kwa mda tu badae hali

inarudi

SASA UNAJUWA BAADA YA HAPO KILITOKEA NINI?

Baada ya kuishi katika shida hiyo kwa mda mrefu nianza kuumwa jino la

chini (gego) nilipata maumivu makali sana nilikuwa nalia kama mtoto mdogo

usiku silali kwa sababu ya maumivu makali nilikuwa nashindwa hata kula

napata maumivu makali hasa nikila vyakula vya moto,baridi au vigumu

nilikuwa napata maumivu makali ya kichwa sikio hata hivyo harufu mbaya

iliendelea kutoka mdomoni fizi zilivimba na damu zilikuwa zinatoka hasa

wakati nilipokuwa najaribu kupiga mswaki

Nilijikuta nikipoteza tabasamu nilikonda kutokana na maumivu makali

nilitengwa na marafiki zangu hata watu wangu wa karibu

najuwa

unanihurumia kutokana na hali niliokuwa na pitia

Mnamo saa 2:00 usiku tarehe 02th Feb 2019 siku ya jumamosi niliumwa sana

ilibidi nipelekwe hospitali lilipofikia hospital nilipewa dawa za kutuliza

maumivu nikambiwa dactari atakuja asubuhi akufanyie vipimo ili kama jino

limeisha legea atakutoa nililala kwa shida sana hadi asubuhi….

Dokta alikuja nikapimwa akasema jino limetoboka na limeoza inatakiwa

kuling'oa kwa maumivu nilikuwa nayo nilimwambia fanya tu unavyoweza dr

alinipa dawa akanipangia siku ya kwenda kung'olewa hilo jino akaniruhusu

kurudi nyumbani ili baada ya hizo siku mbili nirudi litakuwa limeregea kabisa

Ngoja nifupishe story ili unielewe vizuri kimsingi baada ya hizo siku mbili mimi

sikurudi kwenda kung'olewa jino

Je unataka kujua ni kwanini sikung'olewa Jino? Nadhani hapa ndipo

unapopataka sikiliza sasa ilikuwa hivi

Baada ya dakitari kunipa zile siku mbili za maandalizi niliporudi nyumbani

nilikuwa na mawazo sana nikifikilia kung'olewa jino niwe kibogoyo jamani vip

kama akilitoa vibaya nikafa itakuwaje niliwaza mbali sana

Jioni nikiwa na rafiki yangu alikuja kunitembelea anaitwa GASPER

akanikuta na hiyo hali aliniuliza nikamwelezea kila kitu hadi hiyo tarehe 5

nilivyokuwa nataka kwenda kutolewa jino

Aliniuliza umewahi kutumia dawa gani za meno nilitaja nyingi sana za

hospital na za asili pia..

Aliniuliza ulishawahi kusikia dawa ya meno inayoitwa forever bright toothgel

nilimwambia hapana hata hivyo hakuna dawa inayoweza kutibu jino dawa

yake ni kulitoa tu akasema

hivi unajuwa ukitoa walewadudu watahama kutoka

kwenye hilo jino bovu na kwanza kushambulia lingine ndani ya miaka 2

utakuwa na meno kweli utazeeka kabla ya umri wako kufika…..

Nakumbuka aliniambia kitu kimoja aliniambia mimi nirafiki yako nakuonea

huruma sana aliingiza mkono wake ndani ya begi lake akatoa kitu kama

muundo wa tyubu

akaniambia tumia hii leo usiku kabla ya kulala na kesho

asubuhi kama hutaona mabadiliko yoyote basi mimi nitakusindika hospital na

nitalipa gharama zote za kutolewa jino…

Jamaa alikuwa anajiamini sana

Kilichotokea baada ya kutumia hiyo dawa forever bright toothgel ni hiki

hapa..

Ukweli ni kwamba baada ya kutumia ile dawa usiku nilipata usingizi kidogo

baada ya maumivu kupungua nimeamka asubuhi ninaweza kuongea vizuri

hadi kufikia mchana niliona mabadiliko makubwa sana nikasema hii dawa ni

ya maajabu baada ya kutumia usiku asubuhi siku ambayo ilitakiwa niende

kutolewa jino rafiki yangu alikuja akaniambia nijiandae anipeleke hospital

nilisema kwa furaha mimi nimepona siendi kutoa jino alitabasamu maana

alijua dawa ile kwa ubora wake lazima inisaidie....

Baada ya kutumia siku tatu 3 tu maumivu yalisha uvimbe ulinywea na ndani......

ya siku saba 7 harufu mbaya mdomoni kupungua siku hadi siku hadi siku ya.......

11 harufu iliisha hadi hivi sasa nina meno yote meupe sitoi harufu mbaya

mdomoni tena meno yangu ni imara nikipiga mswaki damu hazitoki tena na

sasa nafurahi kupiga story na rafiki zangu bila shida dawa hii imekuwa ni

sehemu ya maisha yangu sasa forever bright toothgel ndio dawa nayotumia......

hadi sasa mimi nafamilia yangu

Na mimi nakushauri tumia forever bright toothgel kwa ajili ya afya ya kinywa.......

chako ufurahie maisha hata kama huna changamoto ya kinywa itumie

itakusaidia kulinda nakama unashida itakutibu na ninaimani utaipenda sana..........

na utatamani watu wako wa karibu na mhimu waitumie maana hutopenda

kuonawasumbuliwa na shida yoyote yameno haliyakuwa suluhisho

unalijuwa…

Matumizi ya forever bright toothgel

Dozi kamili ni siku 60

Ndani ya siku 60 mdomo wako utakuwa hanuki tena labda kwa zarula hasa ukila viungo

kama kitunguu Kuna vyakula ukila husababisha mdomo kutoa harufu mbaya ila ni ya mda mfupi tu

Baada ya hizo siku 60 hautahitaji tena mauth wash walanini wala dawa nyingine tena

kwajili ya kutibu tatizo hilo maana litakuwa limeisha kabisa

Hata hivyo mabadiliko utaanza kuyaona ndani ya masaa 24-72 ya kwanza baada kutumia

forever bright toothgel kwani kunamwingine ndani ya masaa 12 matokeo anaanza

kuyaona kama mimi nilianza kuona mabadiliko baada ya masaa 12 mwingine 24 na

mwingine masaa 72 inategemeana na mwili wa mtu na mtu….

Matumizi ya forever bright toothgel nikama ifutavyo:..

Forever Bright toothgel matumizi yake unatumia kutwa mara tatu

yaani unapiga mswaki asubuhi baada ya kuamka unarudia baada ya

chakula cha mchana na baada ya chakula cha usiku….

Lakini pia unaweza kutumia mara mbili kwa siku asubuhi na jioni

kabla ya kulala unaswaki unalala kinywa kikiwa safi unaenjoy na

mke/ Mpenzi wako au hatawewe mwenyewe

Mimi huwa natumia hii ya kutwa mara mbili 1×2 maana mda mwingi

unakuta niko busy nakazi mchana…

Utatumia kulingana na ukubwa wa tatizo lako kama nikubwa au

lakawaida tumia moja kutwa mara 3 (1×3)

Ila kwa ajili ya kulinda afya ya kinywa chako unaweza kutua mara 3

au mbili haina shida kabisa ni salama kwako mtumiaji..

Inagharimu kiasi gani dawa hii ya forever bright toothgel

Ukilinganisha bei ya forever bright toothge dawa zingine za kutibu na kuondoa

harufu mbaya mdomoni ambazo kimsingi hata hazimalizi tatizo likaisha kabisa

binafsi utapendezwa na bei ya forever bright toothgel iwe juu.

Naukilinganisha wateja wengi walioitumia dawa hii wameweza kuondokana na

tatizo la harufu mbaya mdomoni ,maumivu makali ya meno na kuvimba fizi na

kutoa damu ndani ya mda mfupi na asipo kuendelea kutumia garama kubwa ya...

kutoa meno na kutumia garama kubwa kununua mouth wash na dawa

zakuondoa harufu mbaya ambazo hutoa suluhisho la mda tu ambazo hata

hazitoi tatizo wengi wao wanasema hata garama ya forever bright toothgel

ingekuwa Tsh 250,000/= wangenunua

Fikiria….

Ni kiasi gani ungekuwa tayari kutoa kupata tiba ambayo kwa asilimia 100%

unajua lazima ifanye kazi?

180,000/=?, 150,000/=? au 130,000/=?

Lakini unajua nini? Hutalipia pesa hiyo.

Shirika hili la Marekani linalotengeneza forever bright toothgel wameamua kuweka

bei ambayo kila mtu anaweza akaimudu na kwa wakati huo huo pesa hiyo iweze

kusaidia kuendesha uzalishaji wa dawa zingine kulingana na uhitaji wa dawa hii kuwa mkubwa.

Kwahiyo leo kwenye ukurasa huu unaweza kuipata dawa

hii kwasababu haipo hospitalini na wala kwenye maduka ya dawa.

Kwenye ukurasa

huu ndio sehemu pekee ya kuipata forever bright toothgel dozi kamili ya siku 60 kwa bei ya…

112,000/= tu

Kuna sababu kwanini bidhaa hii inauzwa kwa bei ndogo sana hivyo.

Ni rahisi kuelewa sababu hiyo.

Lengo la shirika hili la Marekani linalotengeneza dawa hii ni kuwasaidia wahanga wa

matatizo ya meno na harufu mbaya mdomoni duniani kuacha kuendelea kupoteza

pesa kwenye njia ambazo hazifanyi kazi.

Endapo gharama ya dawa hii ingekuwa juu maana yake wahanga wengi

wangeshindwa kumudu bei.

Hivyo basi ndio maana wakaamua kutoa punguzo la bei kubwa ili wahanga wengi

wapate suluhisho sahihi la kumaliza kiini cha tatizo na kufurahia maisha na

wapendwa wao

La mhimu

nakushauri kuchukuwa dawa yako mapema kwasababu bidhaa zilizopo ni chache na

uhitaji wa forever bright toothgel ni mkubwa sana....kuna uwezekano mkubwa dozi

tulizobaki nazo hapa kwenye store yetu zikaisha ndani ya wiki 2 zijazo.

Kwahiyo weka oda yako mapema

Bidhaa zikiisha huwa zinachukuwa mdawa wa miezi mitatu 3 hadi sita mpaka 6 dawa

zingine kutoka marekani kuja Tanzania

Maana kampuni hii inatumia usafiri meli maana inachukuwa mizigo ya sehemu mbali

mbali na tuajuwa meli inavyotembea nitofauti na ndege

Na mda mwingine huchelewa kwa sababu ya hali ya hewa mvurugiko katika habari

Hivyo kutokana na uhitaji mkubwa wa dawa hizi imefikia hatua kampuni unaelewa

na oda kutoka mataifa makubwa tofauti tofauti ulimwenguni hivyo inaweza

kuchukuwa mda kuleta mzigo Tanzania

Kwahiyo unaweza ukaona ni mchakato ambao unachukua siku nyingi kiasi kwamba

miezi hiyo ikipita hujatumia dawa tatizo litakuwa lishakua sugu na kukusababishia

Lichukue muda mrefu kuweza kupona.

Hivyo ni vyema ukachukua dozi yako sasa hivi.

Na kama utaondoka kwenye ukurasa huu pasipo kuweka ODA yako kuna uwezekano

mkubwa pindi utakaporudi, ukakuta bidhaa zimeisha.

Hivyo basi usitoke kwenye ukurasa huu bila kuweka ODA yako kwasababu uhitaji wa

dawa hii ni mkubwa sana... kwahiyo bidhaa tulizonazo store zitaisha muda wowote.

Kama unahofu kuhusu dawa hii kutofanya kazi naelewa kabisa hata mimi nilikuwa na

hofu lakini nilivyo itumia nilishaanga kwa matokeo niliopata na hadi sasa nautumia

kama dawa yangu ya meno au mswaki kwa hiyo sasa mimi ninakupa dawa hii kwa

guarantee maana najuwa una wasiwasi wa kupoteza pesa yako

Kwahiyo bidhaa hii nakupa kwa dhamana guarantee

Dhama hii iko hivi:

Tumia forever bright toothgel kwa muda wa siku 60. Kama baada ya siku 60 bado

mdomo wako utakua unatoa harufu mbaya au bado utakuwa unapata maumivu

makali ya meno au fizi kutoa damu au kwa sababu yoyote ile utakuwa hujaipenda

forever bright toothgel piga simu kwenda namba 0712132166 toa taarifa

utarudishiwa pesa zako zote bila kinyongo chochote.

Hata hivyo nina imani utaipenda forever bright toothgel na utalidhika kwa maajabu

ambayo itakufanyia.

Kwanza kabisa wewe mwenyewe utashangazwa na uwezo wa dawa hii ndani ya..

masaa 72 maumivu ya meno yatakuwa yameisha kabisa na uvimbe utakuwa umepotea.

kabisa utakuwa na uwezo wa kutabasamu mbele za watu bila hofu ya mdomo kutoa....

harufu mbaya

Ukweli ni kwamba kwa kuitumia forever bright toothgel pesa ambazo ungeendelea....

kuzipoteza kwenye tiba ambazo hazifanyi kazi utazifanyia mambo yako mengine ya msingi.

UNACHOTAKIWA KUFANYA SASA HIVI NI HIKI

Chini ya maelezo haya kuna sehemu ya kuweka ODA yako. ODA zinazopokelewa ni

za watu ambao wana uhitaji wa kupokea bidhaa zao haraka kabla dawa haijaisha.

Kwahiyo usiweke ODA kama unajua hutachukua haraka iwezekanavyo.

Dozi ni 112,000/=

Malipo yote yafanyike kwa njia ya Mixby yas [tigo pesa] au

CRDB BANK

Namba ya mix by yas ni 0712132166 na jina ni Hamis Ernest

Namba ya akaunt CRDB BANK ni

0152731232900

jina ni Hamis Nchagwa

Ernest

Kwa mteja wa mkoani (Nje ya Dar) unalipa kwanza pesa yote ya dozi utakayokuwa

umechagua kupitia moja ya account za malipo hizo hapo juu halafu baada ya kulipia

gharama ya kusafirisha mzigo mpaka ukufikie popote ulipo ndani ya Tanzania ni juu

yangu.

Kwahiyo hatua ya kwanza ni kujaza fomu ya kutuma oda yako halafu baada ya hapo

kama upo Dar unasubiri kuletewa siku uliyochagua na...

Kama upo mkoani baada ya kujaza fomu unafanya malipo kwanza ya gharama ya

dozi halafu gharama za usafiri ni juu yangu nakuagizia mzigo wako mkoani ulipo kwa

njia ya bus au boat (wale wa zanzibar)

Kujaza fomu ya kuweka ODA ni rahisi.

Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa POKEA ODA YANGU.

Baada ya

kubonyeza sehemu hiyo utafunguka ukurasa mpya wenye fomu. Jaza fomu hiyo

kikamilifu na kisha itume.

Mara baada ya kupokea fomu yako msaidizi wangu au

mimi mwenyewe nitakupigia simu kukujulisha kama ODA yako imepokelewa

kikamilifu.

Bonyeza sehemu hii sasa hivi

This site is not part of the Facebook TM website or FacebookTM inc.additionally this site is NOT endorsed by FacebookTM in any way. FACEBOOKTM is a trademark of FACEBOOKTM,inc